About us

Tuesday, January 12, 2016

Ne-Yo na mchumba wake mjamzito Crystal Renay kufunga ndoa mwezi ujao

neyo3




Ne-Yo na mchumba wake wa muda mrefu Crystal Renay ambaye ni mjamzito hawajatangaza rasmi tarehe ya kufunga ndoa, lakini kwa mujibu wa mtu ambaye ni miongoni mwa waalikwa aliyevujisha mtandaoni kadi ya mwaliko inaonesha ndoa itafungwa February 20, 2016.
neyo ndoa-1
neyo ndoa-2


Mwezi September 2015, Ne-Yo alikanusha vuvumi ulioenea kuwa tayari walikuwa wamefunga ndoa, lakini akakiri kuwa mchumba wake ni mjamzito na kuahidi kufunga ndoa mwaka huu 2016.

ADS

ADS

ADVATISE HERE

ADVATISE HERE