About us

Latest Articles

Tuesday, January 12, 2016

http://cdn3.thr.com/sites/default/files/imagecache/675x380/2011/09/
It's official -- the legendary Playboy Mansion has hit the market for a wild price.
TMZ broke the story Saturday ... the Mansion was going on the market this month, and Monday morning, it all came true.
As we reported, Playboy Enterprises, which owns Hefner's palace, wanted $200 million for the 6-acres of prime real estate. Our real estate sources say top dollar realistically is $90 mil.
But The Agency and Hilton & Hyland have split the listing and the asking price is indeed $200 mil.
Playboy CEO Scott Flanders said, "This is the right time to seek a buyer for this incredible property who understands the role the Mansion has played... and enables us to continue to reinvest in the transformation of our business." Which seems to translate ... if you're a fan of boobs and bunnies -- this is the house for you.  
As we reported, there's a string attached to the sale ... Hefner gets a lifetime estate, meaning he gets the run of the mansion for the rest of his life.
0108_playboy_mansion_footer2


Read more: http://www.tmz.com/2016/01/11/playboy-mansion-listed-200-million/#ixzz3x2LcvLka
Continue reading

Breaking News
THE CRAZY FIREFIGHTPrimero Noticias
The Mexican marines who captured El Chapo were wearing GoPro cameras, and the footage of their raid was just released.
The video is remarkable -- the troops are HEAVILY armed ... obviously expecting a major gun battle to take down the drug lord. It kinda looks like an intense game of "Call of Duty" -- except the bullets are real here.
One solider suffered non-life threatening injuries during the mission ... dubbed operation "Black Swan" by the Mexican government. 


Read more: http://www.tmz.com/2016/01/11/el-chapo-mexican-marines-raid-video/#ixzz3x2LBqvw4
Continue reading

IT'S THE RIGHT FITTMZ.com
There's one thing Nike can't 'Just Do' and that's get Kanye West to rock the swoosh again.
It's been 2 years since Kanye and Nike broke up -- 'memba Air Yeezys? So, at LAX Monday we asked him if a Powerball jackpot worth of cash could get him to jump ship from his current deal with Adidas, reportedly worth at least $10 million.
Check out his answer ... it sure sounds like there's still beef between Ye and Nike.
He's also got big news about his clothing line -- something that'll make his average Joe (and Jane) fans very happy.


Read more: http://www.tmz.com/2016/01/11/kanye-west-nike-adidas/#ixzz3x2KHSnWd
Continue reading


Aliye kuwa raisi wa shirikisho la Soka Duniani FIFA Sepp Blatterna Mwanasheria wake anatarajiwa kuwasilisha rufaa ya mteja wake ya kupinga kufungiwa miaka minane kujishughulisha na masuala ya soka.

Hata hivyo kamati ya nidhamu ya FIFA imewasilisha sababu za kuchukuliwa kwa hatua za nidhamu dhidi ya viongozi hao waandamizi wa zamani wa soka Blatter na mwenzake, Michel Platini. Mwezi Disemba aliyekuwa Rais wa FIFA Sepp Blatter na rais wa UEFA Michel Platini walifungia kwa kipindi cha miaka minane baada ya kukutwa na hatia ya kuvunja kanuni na sharia za FIFA. Kwa upande wake pia mwanasheria wa Platini anasema kuwa anatarajia kukata rufaa kwa kupinga maamuzi ya FIFA.
Continue reading

neyo3




Ne-Yo na mchumba wake wa muda mrefu Crystal Renay ambaye ni mjamzito hawajatangaza rasmi tarehe ya kufunga ndoa, lakini kwa mujibu wa mtu ambaye ni miongoni mwa waalikwa aliyevujisha mtandaoni kadi ya mwaliko inaonesha ndoa itafungwa February 20, 2016.
neyo ndoa-1
neyo ndoa-2


Mwezi September 2015, Ne-Yo alikanusha vuvumi ulioenea kuwa tayari walikuwa wamefunga ndoa, lakini akakiri kuwa mchumba wake ni mjamzito na kuahidi kufunga ndoa mwaka huu 2016.
Continue reading

Thursday, December 24, 2015




Continue reading



Najua wakristo wengi duniani wanahesabu saa chache kuifikia December 25, siku ambayo inasherehekewa sikukuu ya Christmas kila mwaka… kama na wewe umejiandaa vizuri na sherehe hiyo basi nikutakie heri mtu wangu, lakini stori ina kichwa cha habari tofauti kutoka Somalia.
Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za christmas kwa siku ya kesho, moja ya sababu iliyotajwa ni kwamba sherehe hizo zitasababisha hofu kwa watu wa dini nyingine ambao hawahusiani nazo.
Wageni toka nchi nyingine wameruhusiwa kufanya sherehe zao majumbani mwao, lakini maeneo kama mahotelini na maeneo mengine yamezuiwa kufanyika sherehe zozote kwa siku ya kesho huku Serikali ikiimarisha ulinzi kuhakikisha agizo hilo linazingatiwa
Continue reading





Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita.
MAGAZETI JOH MAKINI 33
.Rapper Joh Makini
.
.Mchekeshaji Joti
.
.Kulia ni Mwanamitindo Flaviana Matata akiwa kwenye udogo wake
.
.Quick Rocka
.
.Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki kwenye udogo wake
.
.Shilole enzi hizo akiwa Tabora
Vanessa Mdeee
.Vanessa Mdee kwenye udogo wake
Continue reading

Friday, December 11, 2015

Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Nape Nnauye
Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Nape Nnauye
Jana Rais John Pombe Magufuli alitangaza baraza lake la mawaziri baada ya watu kusubiri kwa muda mrefu kusikia ni akina nani watapewa majukumu ya kusimamia wiara mbalimbali kwenye serikali ya wamu ya tano ambayo imeanza kwa kasi ya aina yake.
Kwenye upande wa michezo, Dr. Magufuli amemteuwa Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utaduni, Wasanii na Michezo. Wanamichezo wengi wanahitaji kuona Tanzania inafanya mabadiliko makubwa kaika nyanja ya michezo mbalimbali.
Swali linakuja, je Waziri Nape Nnauye atafanikiwa kuleta mabadiliko kwenye nyanja ya michezo akiwa ni kiungo kati ya serikali na viongozi wa vyama vya michezo hapa nchini ambapo kwa miaka kadhaa Tanzania imekuwa haifanyi vizuri katika mashindano ya kimataifa kwenye michezo husika?
Mchambuzi wa masuala ya michezo wa kituo cha Clouds Media Group Shaffih Dauda jana alisikika kupitia kipindi cha michezo cha Sports Extra cha Clouds FM akitaja matarajio yake kutoka kwa Waazriri huyo mpya aliyepewa majukumu ya kusimamia Wizara ya Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo.
Dauda amesema yeye anategemea Nnauye atafanya utafiti kwa kushirikiana na wadau wa michezo ili kubaini changamoto zilizopo, kujua wapi pa kuanzia kuzitatua changamoto hizo zinazoikabili sekta ya michezo kwa muda mrefu.
“Kikubwa ambacho mimi nakitegemea kutoka kwake (Nape Nnauye) ni kutafuta wadau na kukutana nao kujua changamoto, kujua wapi pa kuingilia na kutokea halafu baadae akisha maliza hayo, ni kukubali kukaa katikati ya serikali na sekta ya michezo. Kama tulivyosikia kauli ya Rais akisisitiza ‘kutumbua majipu’ na huku kuna majipu mengi sana ambayo yanahitaji kutumbuliwa”, alisema Dauda wakati akitoa maoni yake juu ya kuteuliwa kwa Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo.
“Kwahiyo yeye pia angaalie katika jicho hilo kwsababu hawezi kufanya kitu kama bado wale ambao wameingia ‘kimagumashi’ wataendelea na ataruhusu waendelee kuwepo au ataruhusu watu ambao hawana mchango waendelee kuingia kwenye sekta ya michezo”.
“Na hiyo inategemea na namna ambavyo yeye atakuwa anaichukulia sekta ya michezo, kama atakuwa anaona ni ya kawaida tu basi tutaendelea kubaki hivyohivyo, lakini kama ataichukulia kwa uzito wake naamini pia majipu mengi huku yatatumbuka”.
Wadau wengi wa michezo nchini wanasubiri kwa hamu kujua mipango ya kuhakikisha michezo hapa nchini inakuwa na tija na inakuwa na maendeleo siyo tu kwa taifa lakini pia kwa wanamichezo husika.aa
Continue reading

ADS

ADS

ADVATISE HERE

ADVATISE HERE